VIONGOZI WA CHAWAKAMA 2013/14
Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Vyuo vikuu Afrika Mashariki Tawi la chuo
kikuu cha Dar es salaam (CHAWAKAMA-UDSM ) zamani CHAKICHUKIDA ni miongoni mwa
vyama vikongwe kabisa vya kitaaluma katika chuo kikuuu cha Dar es salaam. Chama
hiki kilianzishwa mnamo mwaka 1972, wakati ambapo Chuo kikuu cha Dar es salaam
kilikua bado kichanga kabisa. Hadi leo chama kina mafanikio mbalimbali kama
vile kuzalisha na kukuza wataalam mbalimbali wa fani ya lugha za Kiswahili,
isimu na fasihi na wengi wao ni Maprofesa, Madaktari wa falsafa na Wahadhiri wa
Kiswahili katika vyuo mbalimbali duniani. Kwa hakika sitawataja kwa majina
maana ni lukuki.
Baada ya kufanya shughuli mbalimbali ndani na nje ya chuo kikuuu cha Dar es
salaam, Chama cha Kiswahili chuo kikuu cha Dar es salaam kimepata mafanikio
makubwa kwa kuweza kushirikiana na Chama cha wahadhiri wa Kiswahili Afrika
Mashariki (CHAKAMA) katika uanzishwaji wa Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili vyuo
vikuu Afrika Mashariki (CHAWAKAMA) mwaka 2004. Hivi sasa Chama kimeenea katika vyuo
vikuu zaidi ya ishirini na tano Afrika Mashariki. Kwa mantiki hii Chuo Kikuu
cha Dar es salaam ni tawi la CHAWAKAMA katika kanda ya Tanzania na tawi hili
ndio makao makuu ya kanda chini ya Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI)
kama mlezi wa kanda ya Tanzania. TATAKI pia ndio mlezi wa CHAWAKAMA-UDSM.
MALENGO YA CHAMA.
Chama kilianzishwa kwa malengo yafuatayo:
i.Kuwapa wanachama nafasi ya kujadili, kuimarisha, kuendeleza na kukuza
vipawa vyao vya lugha na na fasihi ya Kiswahili.
ii.Kuamsha ari ya mapinduzi ya utamaduni wa lugha ya Kiswahili.
iii. Kueneza lugha ya Kiswahili ndani na nje ya nchi.
iv. Kuwaunganisha wanafunzi wa Afrika Mashariki na katika kukikuza
Kiswahili.
v. Kushirikiana na vyama vingine vya Kiswahili katika juhudi za
kukiendeleza na kuimarisha Kiswahili ndani na nje ya nchi wanachama.
vi.Kushirikiana na asasi mbalimbali zinazojihusisha na ukuzaji na uenezaji
wa Kiswahili ndani naje ya nchi kama vile BAKITA, TATAKI, TAKILUKI, UWAVITA,
CHAKAMA, BAKIZA na nyiginezo.
SAFU YA UONGOZI MPYA WA CHAWAKAMA KANDA YA TANZANIA
SN
|
JINA
|
WADHIFA
|
CHUO
|
NAMBA YA SIMU
|
|
1
|
MISSANA SANNE
|
MWENYEKITI
|
MUCE
|
0763-450604
|
|
2
|
EMMANUEL SANGA
|
M/MWENYEKITI
|
MAKUMIRA
|
0714-720844
|
|
3
|
MOSHI YUDA TADEI
|
KATIBU
|
DUCE
|
0765-565474
|
|
4
|
NAIBU KATIBU
|
SUZA
|
|||
5
|
WILBERT EMMANUEL
|
MHAZINI MKUU
|
SEKOMU
|
0715-354640
|
|
6
|
MLAYA JUMA
|
MHAZINIMSAIDIZI
|
SAUT
|
0765-512783
|
|
7
|
BERNAD STEPHANO
|
MHARIRI MKUU
|
UOA
|
0754-568696
|
|
8
|
JACOB KINETI
|
MHARIRI MSAIDIZI
|
UDSM
|
||
9
|
TIMOTHY HEZRON
|
KATIBU MWENEZI
|
RUKO
|
||
10
|
TEKU
|
||||
SAFU YA
UONGOZI KWA UPANDE WA AFRIKA MASHARIKI – KUTOKA TANZANIA
|
|||||
SN
|
JINA
|
WADHIFA
|
CHUO
|
NAMBA YA SIMU
|
|
1
|
SAID GHANI
|
KATIBU MKUU
|
MUM
|
0712-851832
|
|
2
|
MGATA YOLANDA
|
MWEKA HAZINA MSAIDIZI
|
RUCO
|
0759-220451
|
Kwa maelezo yote kuhusu Tuzo ya Ushairi ya Ebrahim Hussein...
ReplyDeletehttps://www.facebook.com/pages/Ushairi/610865088994350